1981; Wewe Utasahau, Lakini Wao Hawatasahau…

By | June 3, 2020
Mara nyingi yule anayefanya kitu huwa anasahau, lakini yule anayefanyiwa huwa hasahau. Hili lipo zaidi kwa yale mambo ambayo yanaibua hisia kali kwa wale wanaofanyiwa, iwe ni hisia chanya za upendo na furaha au hisia hasi za hofu, chuki na huzuni. Unapaswa kuwa makini sana na kila unachowafanyia wengine, ukijua

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz