MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1985; Mkulima Na Mwindaji…
Mkulima anapaswa kulima shamba, kupanda mazao, kuyapalilia, kuweka mbolea, kupalilia tena na kisha kusubiri yakomae ndiyo ayavune. Kwa njia hii anahitaji kujenga mahusiano ya karibu na kile anachofanya, anapokwenda kulala anafikiria mazao yake, mvua ikiwa nyingi au kidogo anafikiria mazao yake na hili linamfanya ajitoe zaidi na katika kujitoa huko