#TAFAKARI YA ASUBUHI; KUBALI KUPITWA…

By | July 6, 2020
“If you wish to improve, be content to appear clueless or stupid in extraneous matters.” — Epictetus Uteja wa habari na mitandao ya kijamii huwa unatengenezwa na kitu kimoja, hofu ya kupitwa. Unatembelea mitandao hiyo kila mara na kufuatilia kila habari kwa kuhofia usipofanya hivyo basi utapitwa. Unahofia kuna mambo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz