#TAFAKARI YA ASUBUHI; KAZI BORA ZINAFANYIKA KWENYE UTULIVU…

By | July 7, 2020
“Without great solitude, no serious work is possible.” — Pablo Picasso Bila ya utulivu, huwezi kufanya kazi ambayo ni bora. Bila ya kuondokana na kelele na usumbufu mwingine wa akili yako, haiwezi kutulia na kuja na mawazo bora. Wanasayansi, wanafalsafa, waandishi, wajasiriamali na watu wengine, huwa wanapata mawazo bora pale

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz