2017; Urahisi Na Raha Ya Kufanya…

By | July 9, 2020
Kanuni muhimu kabisa ya uchumi ni hii, kadiri kitu kinavyopatikana kwa wingi na urahisi, ndivyo thamani yake inakuwa ndogo na watu kutokuwa tayari kulipa gharama kubwa kukipata. Hii ndiyo kanuni unayopaswa kuendesha nayo maisha yako, kupima kila unachotaka kufanya ili kujua thamani yake. Kama unachofanya kinafanywa na kila mtu, usitegemee

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz