2020; Wakati Ni Huu…

By | July 12, 2020
Ni nadra sana kila kitu kwenda kama unavyotaka kiende. Hivyo kuacha kuchukua hatua mpaka wakati uwe sawa, kama unavyotaka wewe, ni kujichelewesha. Katika kila wakati kuna kitu hakitakuwa sawa, kuna changamoto binafsi utakuwa nazo, kuna changamoto za kimazingira au kiuchumi zinaweza kuibuka. Ukitaka sababu ya kutokufanya kitu chochote kile, utaipata

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz