2028; Hakuna Anayejua Anachofanya…

By | July 20, 2020
Mara nyingi nimekuwa nakuambia unaposoma hadithi za mafanikio ya wengine zisome kama sehemu ya kupata hamasa kwamba inawezekana, lakini siyo kwa ajili ya kuiga kile ambacho wao wamefanya. Kwa sababu hata wao wenyewe kama wangeanza tena sasa, na wakafanya kila walichofanya kwa namna walivyofanya kipindi cha nyuma, hawatafanikiwa kama walivyofanikiwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz