2030; Unachokasirikia Kinachekesha…

By | July 22, 2020
Mambo mengi yanayokukasirisha kwenye maisha, hayana maana kabisa. Hivyo hasira unazojipa ni kupoteza muda na nguvu zako kwa hisia ambazo hazina manufaa. Chukua mfano unapita njiani, ukakutana na mbwa ambaye baada ya kukuona akaanza kubweka. Je utamkasirikia mbwa huyo? Utasema kwa nini akuone wewe na aanze kubweka? Kama utafanya hivyo,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz