2032; Chagua Eneo La Kuhudumu…

By | July 24, 2020
Moja ya kikwazo kikubwa kwa wengi kufanikiwa ni kutokufanya maamuzi ya kuchagua eneo ambalo watalibobea na kufanya vizuri. Wengi hupenda kuwa na machaguo mengi wakiamini kufanya hivyo ni kuwa huru na kutokufungwa kwenye eneo moja. Lakini kwenye dunia tunayoishi sasa, dunia yenye ushindani mkali, huwezi kufanikiwa kama unafanya kila kitu.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz