2035; Unahangaika Na Mambo Makubwa Sana…

By | July 27, 2020
Kama unataka kuibadili dunia, nenda nyumbani ukaipende familia yako, hii ni kauli ambayo iliwahi kutolewa na Mama Theresa. Ni kauli fupi lakini iliyobeba ujumbe mkubwa, siyo tu kwenye maisha, bali kwa upande wa mafanikio pia. Moja ya vikwazo vinavyotuzuia kufanikiwa ni kuhangaika na mambo makubwa ambayo yako nje kabisa ya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz