#TAFAKARI YA LEO; TATIZO HUJAKOMALIA KITU KWA MUDA…

By | July 31, 2020
“Take a simple idea and take it seriously.” —Charlie Munger Kila mtu anataka mafanikio makubwa, ila wanaoyapata ni wachache sana.Siyo kwa sababu wachache hao ni wajanja sana au wanafanya nakubwa sana.Bali kwa sababu wachache hao huwa wanakuwa tayari kukomaa na kitu mpaka wapate majibu. Wale wanaofanikiwa sana, huwa wanachukua kitu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz