2042; Hitaji La Watu Kuamini…

By | August 3, 2020
Watu huwa wana hitaji kubwa la kuamini kwenye kitu chochote kile. Na hivyo watatafuta chochote wanachoweza kukiamini na kwenda nacho. Maisha yetu wanadamu ni magumu sana bila ya kuwa na imani kwenye kitu fulani. Pale mambo yanapokuwa magumu na changamoto kuwakabili watu, kinachowawezesha kuvuka ni kile wanachoamini. Hii ndiyo maana

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz