2046; Maumivu Kama Mtaji…

By | August 7, 2020
Ni asili yetu binadamu kuyakimbia maumivu, huwa hatuyapendi, kwa sababu yanaumiza. Lakini wote tuna ushahidi ni jinsi gani maumivu mbalimbali yalivyokuja na manufaa kwenye maisha yetu. Maumivu uliyowahi kupata kwenye mahusiano yalikusaidia kupata watu walio sahihi. Maumivu uliyopata kwenye ajira yalikusukuma kujiajiri. Maumivu uliyoyapata kwa biashara kuwa ndogo yakakusukuma kuikuza

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz