2050; Anza Na Kikundi Kidogo…

By | August 11, 2020
Moja ya madhara hasi ya mitandao ya kijamii, ni kufanya kila mtu afikiria kufikia watu wengi. Kwa kuwa mitandao hii inatupa nafasi ya kuwa na marafiki wasio na kikomo dunia nzima, hata soko letu nalo pia limebadilika. Tunasukumwa kumfikia kila mtu, na hapo ndipo tunapoharibu. Kwa chochote unachofanya, unapolenga kumfikia

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz