2062; Ubobezi Uko Kwenye Vitu Vidogo Vidogo…

By | August 23, 2020
Ukitapa kufikia ubobezi na mafanikio kwenye eneo lolote la maisha yako, unapaswa kuweka juhudi zako kwenye vitu vidogo vidogo, ambavyo ndiyo msingi mkuu wa eneo hilo. Na siyo tu kuvijua, maana tayari unavijua, bali kuvifanya. Angalia eneo la fedha, msingi mkuu uko kwenye kupunguza matumizi, kuongeza kipato na kuwekeza. Hakuna

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz