2064; Ukweli Ni Sasa…

By | August 25, 2020
Kwenye kitabu cha Thinking, Fast and Slow mwandishi ametushirikisha tafiti ambazo ukizitafakari kwa kina, utashangazwa sana na jinsi akili zetu zinavyofanya kazi. Kwenye moja ya tafiti hizo ameonesha kwamba, tunachokumbuka kuhusu siku za nyuma siyo uhalisia wa tukio zima, bali jinsi tukio lilivyoisha. Kwa maana hii basi, sehemu kubwa ya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz