2074; Kama Unataka Mafanikio Ya Haraka, Tumia Mbinu Hizi Nne…

By | September 4, 2020
Mbinu zote za mafanikio ya haraka ambazo watu wamekuwa wanajifunza zimekuwa hazifanyi kazi kwao kwa sababu zinaondoa kiungo kimoja muhimu, kazi. Hakuna mafanikio ambayo hayahitaji kazi, kufikia mafanikio makubwa kwa haraka bila ya kuweka kazi ni kitu ambacho hakipo. Hivyo usije ukadanganyika hata kidogo. Kama unachotaka ni kupata mafanikio ya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz