#TAFAKARI YA LEO; KINACHOKUPOTEZA NI UNACHOFANYA…

By | September 9, 2020
“Unqualified activity, of whatever kind, leads at last to bankruptcy.” – Johann Wolfgang von Goethe Adui wa kwanza wa mafanikio yako ni wewe mwenyewe. Kikwazo kikubwa kwako kupiga hatua kwenye maisha, ni mambo ambayo unayafanya sasa. Kule unakopeleka nguvu zako, muda wako na umakini wako ndiko kunakopelekea wewe kubaki hapo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz