2081; Kanuni Ya Maisha Rahisi Kutoka Kwa Epictetus…

By | September 11, 2020
Maisha ni magumu, lakini huwa tunayafanya kuwa magumu zaidi kwa baadhi ya mambo tunayohangaika nayo. Wastoa, hasa mwanafalsafa Epictetus alikuwa akisisitiza sana kujua mambo yaliyo ndani ya uwezo wako na kujishughulisha nayo na kujua yale yaliyo nje ya uwezo wako na yasikusumbue. Katika mwendelezo wa hilo, Epictetus anatushirikisha kanuni ya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz