2104; Wanasambaza Walichonacho…

By | October 4, 2020
Kila mtu huwa anasambaza kile kilicho ndani yake, hakuna anayependa kukaa na kitu ndani yake. Hivyo wale wenye hofu, huwa wanasambaza hofu hiyo kwa wengi zaidi. Na wenye maumivu huwa wanahakikisha wanawapa watu wengi maumivu hayo. Kadhalika wanaoteseka, huwa wanahakikisha kuwatesa wengine. Na wale wenye upendo, huwa wanawapenda zaidi wengine.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz