MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
2110; Msimamo Na Ung’ang’anizi Kwenye Kuchukua Hatua…
Kuwa na nidhamu kubwa ya msimamo na ung’ang’anizi kwenye kuchukua hatua ndiyo kinachowatofautisha wale wanaofanikiwa sana na wanaobaki kuwa kawaida. Chukua mfano wa watu wawili, mmoja ana wazo la kawaida tu, labda ufugaji au biashara au kilimo, anaamua kuchukua wazo hilo kwa miaka kumi bila kuacha. Mwingine kwa miaka hiyo