2121; Jikinge Na Mihemko Ya Wengine…

By | October 21, 2020
Watu wengi huwa wanaendesha maisha yao kwa hisia, kwa kufuata mihemko yao. Ndiyo maana wengi hawawezi kufanya maamuzi na kuyasimamia kwa muda mrefu. Ni sawa na mtu anayeenda kwenye mkutano wa hamasa au kusoma kitabu cha hamasa, anahamasika sana na kutoka akiwa anajiambia anakwenda kubadilika na kufanya makubwa. Lakini anapolala

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz