2127; Tunaomba Upokee Pesa Zetu…

By | October 27, 2020
Fikiria upo kwenye biashara na umefika hatua ambayo badala wewe uwabembeleze wateja wanunue, wateja wanakubembeleza wewe upokee pesa zao, ukubali kuwauzia kile unachouza. Unafikiri hizo ni ndoto? Ni uhalisia kabisa, biashara zote ambazo zimeweza kufikia mafanikio makubwa, zimeweza kufika hatua hiyo ya wateja kubembeleza kuuziwa, wateja wanaiomba biashara ipokee pesa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz