#TAFAKARI YA LEO; HAMASA NA KIPAJI PEKEE HAVITOSHI…

By | November 1, 2020
“As habit is more dependable than inspiration, continued learning is more dependable than talent.” — Octavia Butler Ili kuanza kufanya kitu, unahitaji kuwa na hamasa ndani yako ya kukifanya. Lakini hamasa huwa haidumu, ni kitu cha muda mfupi tu. Hivyo ili uendelee kufanya, unapaswa kujijengea tabia, ikishakuwa tabia, inakuwa rahisi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz