2152; Unalipa Sasa Au Utalipa Baadaye?

By | November 21, 2020
Kwenye maeneo mbalimbali yanayotoa huduma hasa za starehe, huwa yana taratibu zinazotofautiana za malipo. Kuna eneo ukienda unalipa kwanza ndiyo upewe huduma, wakati eneo jingine unapata huduma kwanza halafu unalipa mwisho. Kwa vyovyote vile huduma utapata, lakini lazima utalipia. Hivyo pia ndivyo ilivyo kwenye maisha yetu, kuna gharama za kulipa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz