2163; Ukweli Au Hadithi?

By | December 2, 2020
Sisi binadamu huwa hatuwezi kutulia kama hatujapata maelezo kuhusu kitu kinachotuhusu. Akili yetu hairuhusu kuwa njia panda bila ya kuwa na maelezo. Hivyo kuna njia mbili za kupata maelezo ya kitu, kupitia ukweli na kupitia hadithi. Ukweli ni jinsi kitu kilivyo, hivyo pale ukweli unapoulikana, watu huchukua huo. Hadithi ni

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz