2165; Nasa Kama Sumaku…

By | December 4, 2020
Sumaku huwa ina tabia ya kunasa, lakini huwa hainasi kila kitu. Sumaku haiwezi kunasa pamba, wala plastiki. Ila sumaku inapokutana na chuma, inakinasa kweli kweli. Kuna kitu kikubwa cha kujifunza kutoka kwenye sumaku, kuhusu kuchagua watu wa kuambatana nao na kuachana na wengine. Tunaitumia sumaku kwenye vitu ambavyo inavivuta na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz