2166; Usiwe Mtu Wa Kujaribu, Bali Fanya Mpaka Upate…

By | December 5, 2020
Kuanza kitu kipya ni rahisi, unakuwa na hamasa kubwa na unaona njia ilivyo wazi ya kufanikiwa. Unakuwa unaona upande mmoja tu wa mafanikio, huoni upande wa pili wa changamoto ambazo lazima zipo. Angalia hadithi nyingi za fursa, mfano kilimo cha matikiti maji ambacho kimekuwa kinatumika kuwahadaa wengine. Mtu anaambiwa kilimo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz