2167; Ni Wakati Mambo Yanapokuwa Magumu…

By | December 6, 2020
Wakati mambo ni mazuri, mtu anaweza kuahidi na kufanya kama anavyoahidi. Kama ilivyo kwa bahari tulivu, kila nahodha anaonekana ni mahiri. Au hali ya uchumi inapokuwa nzuri, kila mtu anaonekana anafanya vizuri. Lakini pale mambo yanapokuwa magumu, ndipo tunapata nafasi ya kujua nani kweli yuko vizuri na nani anaigiza. Warren

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz