#TAFAKARI YA LEO; UKWELI HAUHITAJI KELELE NYINGI…

By | December 15, 2020
“Only misconceptions need to be supported by elaborate arguments. Truth can always stand alone.” – Leo Tolstoy Ukweli hauhitaji kelele nyingi, una nguvu ya kusimama wenyewe. Lakini uongo unahitaji kelele nyingi za kulazimisha ukubalike. Uongo unahitaji maelezo mengi ili kuwashawishi watu waukubali. Na uongo huwa unalazimisha watu waamini, tena bila

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz