2187; Maoni Na Ukweli…

By | December 26, 2020
Ni lazima uweze kutofautisha maoni na ukweli ili uweze kufanya maamuzi sahihi. Watu wengi wanafanya makosa kwa kuchukulia maoni kama ukweli na hivyo kufanya maamuzi ambayo ni mabovu. Ukweli ni ukweli, haubadiliki kulingana na eneo, mtu au hali. Maoni ni mtazamo wa mtu au watu, ambayo huwa yanabadilika kulingana na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz