#TAFAKARI YA LEO; KULIPWA ZAIDI, TOA THAMANI ZAIDI…

By | December 31, 2020
Pesa ni zao la thamani. Kiasi cha pesa unachoingiza sasa ni matokeo ya thamani unayozalisha kwa wengine. Kama unataka kulipwa zaidi ya unavyolipwa sasa, toa thamani kubwa zaidi ya unayotoa sasa. Iwe ni kwenye ajira au biashara, zalisha thamani kubwa zaidi kwa wale wanaotegemea unachofanya. Fanya kwa namna ambayo hakuna

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz