#TAFAKARI YA LEO; NAIISHI LEO…

By | January 2, 2021
Wakati pekee ambao nina udhibiti nao ni wakati uliopo. Siku pekee ninayoweza kuitumia kufanya makubwa ni siku hii ya leo. Jana imeshapita, chochote nilochofanya au kushindwa kufanya siwezi kukibadili. Kesho bado haijafika, chochote ninachohofia kuhusu hiyo kesho siwezi kukiathiri. Lakini leo, iko kwenye mikono yangu, ipo ndani ya udhibiti wangu,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz