#TAFAKARI YA LEO; NGUVU NA MUDA NI ULE ULE…

By | January 4, 2021
Kila siku mpya unayoianza, unakuwa na nguvu na muda ambao ni sawa. Unapoimaliza siku hiyo, unakuwa umetumia muda na nguvu ulizoanza nazo. Iwe umefanya mambo mazuri na ya mafanikio au umefanya mambo ya hovyo haijalishi, muda na nguvu vitakuwa vimetumika. Muda na nguvu utakazotumia kuzurura mitandaoni, au kubishana au kufuatilia

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz