2197; Mabishano Yasiyo Na Mwisho…

By | January 5, 2021
Mijadala inayohusu dini, siasa, michezo na mapenzi, huwa haina mwisho au watu kufikia muafaka. Hiyo ni kwa sababu watu huingia kwenye mijadala hiyo wakiwa tayari wana upande, na upande waliopo umebeba sehemu ya utu na maisha yao. Mtu anapoingia kwenye mjadala au mabishano yanayohusu dini, tayari anakuwa upande fulani wa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz