#TAFAKARI YA LEO; BADILI MAZINGIRA…

By | January 19, 2021
Kama kuna tabia yoyote unayotaka kubadili kwenye maisha yako, anza kwa kubadili mazingira yako. Mazingira yana nguvu kubwa kwenye kujenga na kuimarisha tabia. Angalia ni mazingira yapi unakuwepo wakati wa tabia husika. Mfano kama unasumbuka na hasira, angalia ni wakati gani huwa unapata zaidi hasira, utagundua kuna vitu ukifanya au

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz