#TAFAKARI YA LEO; UKWELI UNAHITAJI USHAHIDI…

By | January 30, 2021
Ukweli unahitaji ushahidi halisi, unaoonekana na kuweza kupimika na kila mtu. Ukweli unapaswa kuwa kweli kwa kila mtu na kila mahali. Ukweli ambao mtu analazimishwa kuamini bila ya ushahidi siyo ukweli huo. Kabla ya kukua kwa sayansi, watu waliamini mambo mengi ambayo siyo kweli. Dini na ushirikina viliwaweka watu kwenye

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz