#TAFAKARI YA LEO; UWEZO WA KUFIKIRI NDIYO CHANZO CHA MAKUBWA…

By | February 1, 2021
Uwezo wetu wanafamu wa kufikiri, ndiyo chanzo cha maendeleo yote duniani. Kila unachokiona kwa macho yako leo, kilianza kama fikra kwenye akili ya mtu. Na hazikuwa fikra za kawaida, kabla ya vitu hivyo kuwepo, wengi waliamini haviwezekani. Wale waliofikiri vitu hivyo, walionekana kama wamechanganyikiwa au wanaota tu. Lakini hawakukata tamaa,

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz