2225; Kinga Ni Bora Kuliko Tiba…

By | February 2, 2021
Ni usemi ambao kila mtu anaujua, lakini kama tunavyojua, kujua na kufanya ni vitu viwili tofauti kabisa. Tunajua mengi, lakini hatuyafanyii kazi na hivyo hatunufaiki na yale tunayojua. Wakati mwingine tunasahau kama tunayojua tunapaswa kuyatumia. Tukirudi kwenye kinga ni bora kuliko tiba, kuzuia matatizo ni rahisi kuliko kuyatatua yakishatokea. Huwa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz