#TAFAKARI YA LEO; NJIA YA KUZISHINDA MASHINE…

By | February 5, 2021
Mashine ya kwanza ya kushona nguo iliharibiwa vibaya na watu kwa sababu waliamini ni adui kwa ajira zao. Tangu kuanza kwa ugunduzi wa mashine za kurahisisha kazi, watu wamekuwa wanazihofia na kuzipinga, kwa sababu ni adui anayechukua ajira nyingi. Lakini kwa zama hizi hatuwezi tena vita hiyo, mashine zimeshakuwa sehemu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz