#TAFAKARI YA LEO; UAMINIFU NDIYO USTAARABU…

By | February 11, 2021
Ustaarabu unajengwa kwenye msingi wa uaminifu, pale watu wanapoweka ahadi na kutekeleza ahadi hizo. Uaminifu unapokosekana, watu hawaaminiani na kila mtu anaumia. Unaenda kwa daktari ukiamini atafanya kile chenye manufaa kwako, kadhalika kwa mwalimu, mwanasheria, mhasibu na hata mfanyabiashara. Swali la kujitafakari leo ni je, ahadi gani unawapa watu na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz