#TAFAKARI YA LEO; IKABILI HATARI…

By | February 12, 2021
Matatizo mengi kwenye maisha huwa yanaanza wakiwa madogo kabisa, ambayo kila mtu anaweza kuyatatua. Lakini wengi huwa hawayakabili yakiwa madogo, badala yake wanayaficha au kuyapuuza na hilo linayapa nafasi ya kukua na kuwa hatari zaidi. Wewe usifanye hivyo, kama kuna tatizo au hatari, kabiliana nayo, usiifiche wala kuikimbia. Ukurasa wa

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz