2240; Marehemu Alisema…

By | February 17, 2021
Nakumbuka wakati tuko shule ya msingi, kama mwalimu alitoa kazi na hujaifanya, ulikuwa unatafuta kisingizio ili kukwepa adhabu. Kisingizio rahisi ilikuwa ni kuangalia mwanafunzi ambaye hajaja shule siku hiyo na kusema alichukua daftari yako. Watu wasiokuwepo na ambao hawawezi kujitetea, huwa wanasingiziwa vitu vingi mno. Vingi ya hivyo huwa siyo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz