#TAFAKARI YA LEO; KITU CHA THAMANI ZAIDI…

By | February 24, 2021
Huwa tunashangaza, vitu vya thamani tunavichukulia poa, ila visivyo vya thamani tunahangaika navyo kweli. Fikiria muda unaotumia kwenye mambo yasiyo na manufaa yoyote kwako, kuanzia kufuatilia habari, maisha ya wengine, mabishano na ushabiki wa kila aina. Unayapa mambo hayo muda kuliko unavyoweka kwenye vitu vyenye tija kama kujifunza au kufanya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz