2258; Hakuna Anayekusumbua, Bali Unajisumbua Mwenyewe…

By | March 7, 2021
Huwa situmii kabisa mitandao ya kijamii, hivyo ninapokutana na watu wakilalamikia yale wengine wanafanya kwenye mitandao hiyo huwa nawashangaa. Unakuta mtu analalamika kwamba hapendezwi na yale wengine wanafanya kwenye mitandao hiyo. Mimi huwa nina swali moja kwao, mtu huyo unayemlalamikia amekuja nyumbani kwako na kufanya kitu hicho? Au amekulazimisha umfuatilie

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz