2263; Kuwaangalia Wengine Ndiyo Kunakupoteza…

By | March 12, 2021
Mwekezaji bilionea Warren Buffett amewahi kusema kinachopelekea maanguko ya uchumi ni tabia ya watu kufuata kundi. Anasema watu wengi huwa hawawezi kutulia pale wanapoona kundi kubwa la watu likifanya kitu, huwa hawataki wapitwe, hivyo hukimbilia kufanya na kuishia kuanguka. Ndiyo maana watu wengi hununua hisa wakati zinapanda bei na kuziuza

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz