#TAFAKARI YA LEO; USIFANYE MAMBO KUWA MAGUMU ZAIDI…

By | March 15, 2021
Mambo yanayokukabili sasa, yanakutosha kupambana nayo, ya nini ujiongezee mzigo kwa mambo ambayo bado hayajatokea? Huwa tunapenda kuhofia mambo ambayo bado hayajatokea, lakini hofu hizo huwa hazisaidii chochote, zaidi ya kuwa kikwazo kwetu kukabiliana na yaliyo mbele yetu. Yakabili yaliyo mbele yako sasa, peleka umakini wako wote hapo na yatakapokuja

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz