#TAFAKARI YA LEO; USIHANGAIKE NA MENGI…

By | March 21, 2021
Mambo ya kufanya ni mengi ma mengi mno yanawinda umakini wako. Lakini huna muda wala nguvu za kuweza kufanya yote yanayokutaka uyafanye. Kama unataka matokeo mazuri, lazima uweke vipaumbele vyako vizuri, uhangaike na yale ambayo ni muhimu zaidi, ambayo wewe tu ndiye unaweza kuyafanya kwa namna bora unayotaka. Mengine ambayo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz