2274; Kushindwa kwa kujitakia…

By | March 23, 2021
2274; Kushindwa kwa kujitakia… Ukianzisha ugomvi na mtu, wewe ndiye unayeshindwa. Kwa sababu kwenye ugomvi wowote ule, kuna kushinda na kushindwa. Iwapo utashindwa, hapo iko wazi umeshindwa, kwa ugomvi ulioanzisha wewe mwenyewe. Na iwapo utashinda, bado wewe ndiyo umeshindwa, kwa sababu umejishusha kwenye ngazi ya chini kwa yule uliyeshindana naye.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz