#TAFAKARI YA LEO; UADILIFU…

By | March 24, 2021
Uadilifu ni moja ya misingi muhimu sana kwenye mafanikio yako. Ili ufanikiwe, lazima watu wakuamini na watu watakuamini kupitia uadilifu wako. Huwezi kuaminika kama unayosema na unayofanya yanatofautiana. Huwezi kuaminika kama unaahidi vitu na hutekelezi. Huwezi kuaminika kama ukiwa faragha unafanya mambo mengine na ukiwa kwenye hadhara unafanya mambo mengine.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: #TAFAKARI YA LEO

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz